Edward Ngoyai Lowassa na Mhe. Freeman Mbowe wakiongea na wanaanchi wa
Tunduma,Jumatatu 19/10/2015 katika viwanja vya shule ya msingi Tunduma
Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiwasili katika viwanja shule ya msingi
Tunduma kwa ajili ya mkutano wa kampeni huku akiongozana na viongozi
wengine wa CHADEMA na UKAWA,akiwemo mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mhe.
Freeman Mbowe na Mhe. Kingunge Ngombale Mwiru,Jumatatu 19/10/2015
Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mhe. Freeman Mbowe akiongea na wananchi wa
Tunduma,Jumatatu 19/10/2015 katika viwanja vya shule ya msingi Tunduma
Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Vyama vya Ukawa, Edward
Lowassa, akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa
Shule ya Msingi Tunduma katika mjini wa Tunduma mkoani Mbeya
0 comments:
Post a Comment