……....
NYUMBANI KITAIFA
Ulimwengu wa habari.
KATIKA BIASHARA
Ulimwengu wa habari.
MATAIFA MENGINE
Ulimwengu wa habari.
KATIKA BURUDANI
Ulimwengu wa habari.
MAAJABU DUNIANI
Ulimwengu wa habari.
Sunday, July 26, 2015
KUMBE LULU ALIMWAMBIA WEMA SEPETU HAYA BAADA YA JINA LAKE KUKATWA UBUNGE VITI MAALUM
10:01 AM
No comments

Baada ya matokeo ya Ubunge viti maalamu Singida kutoka na Wema Kupigwa chini, Lulu Michael amemtia moyo Wema Sepetu kwa Kuandika ujumbe huu;
Kuna matokeo ya aina 3
>>Kushinda
>>Kushindwa
>>Kudroo.
Mpka hapa ulipofika Leo umethubutu kitu ambacho wanawake wengi ni waoga kujaribu wewe ni mshindi Dada yawezeka Kuna kingine zaidi Mungu amekuandal...
Saturday, July 25, 2015
MCHUNGAJI NATSE AWAAGA JIMBO LA KARATU, QAMBALA KUPEPERUSHA BENDARA YA CHADEMA
9:47 AM
No comments

Mbunge mstaafu wa Jimbo la Karatu mkoa wa Arusha,Mchungaji Israel Natse akizungumza katika mkutano mkuu wa Jimbo hilo ambao ulifanya uchaguzi wa madiwani na Wabunge wa Viti Maalumu mgombe Ubunge wa Jimbo la Karatu,katikati ni Katibu wa Chadema mkoa wa Arusha,Kalisti Lazaro na Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Karatu,Thomas Darabe.
Mbunge wa Viti Maalumu wilaya ya Karatu,Cecilia Paresso akizungumza katika mkutano huo ambao alichaguliwa...
KADAMA MALUNDE MWENYEKITI MPYA WA WANAHABARI SHINYANGA
1:43 AM
No comments
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga aliyemaliza muda wake, Shija Felician akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga, Kadama Malunde (mwenye suti) baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa Klabu hiyo.
Viongozi wa Klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga waliomaliza muda wao wakijiuzuru nyadhifa zao kabla ya uchaguzi mkuu kupata viongozi wapya wa klabu ya waandishi wa habari mkoa...
UZINDUZI WA KAMPENI YA WAZAZI NIPENDENI AWAMU YA PILI WAFANYIKA VIWANJA VYA MWEMBE YANGA TEMEKE JIJINI DAR
1:11 AM
No comments
Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Neema Rusibamayila kwa niaba ya Waziri wa wizara hiyo Dk. Seif Rashid (wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kampeni ya Wazazi Nipendeni awamu ya pili katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke Dar es Salaam leo mchana. Wa kwanza kushoto ni
Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), Anna Bodipo Memba na wa pili kulia ni...
Monday, July 6, 2015
KIM KARDASHIAN AMUAIBISHA MUMEWE
8:18 AM
No comments

Mwanamitindo wa Marekani, Kim Kardashian.
New York Marekani
Mashabiki wa Kim Kardashian,
wameshangaa kitendo cha yeye kutoka nyumbani bila kuvaa Bra na kudai
kuwa ni kumuaibisha mume wake kwani hii si mara ya kwanza.
Papararazi
walimpiga picha Kim akionekana kutovaa sidiria huku mtaani wakijiuliza
kulikoni mume wake hamuoni au ni mtu asiyejali na kumpachika jina la
‘Mastermind’.
“Kivazi hiki kimekuwa kikiwatega watu kwani sehemu...
DIAMOND AFANYIWA KUFURU NIGERIA
8:16 AM
No comments

Pasua anga! Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond
Platnumz’ amefanyiwa kufuru ya bonge la pati na msanii mwenzake kutoka
nchini Nigeria, Kingsley Chinweike Okonkwo ‘KCEE’ Ijumaa Wikienda lina
ubuyu kamili.
Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Kwa mujibu wa chanzo cha karibu kilichosafiri na staa huyo ambaye
yupo nchini humo kwa ziara yake inayofahamika kama ‘Nana Tour’, tangu...
MMEACHANA? HAKUNA SABABU YA KUCHUKIANA!
8:05 AM
No comments

Mpenzi msomaji wa XXLove karibu kwenye Jumatatu nyingine mwanana
katika ulimwengu wa uhusiano wa kimapenzi.Katika mada yetu tajwa hapo
juu, nitazungumza na wale rakifi zangu walioachana au kuachwa na kuanza
kumchukia mwenza wake.
Ni
kweli kuachwa kunaumiza sana moyo. Kimsingi usiombe kukumbwa na maumivu
ya kuachwa. Lakini kama hilo limekwishatokea, kwa nini uendelee kuumia
na kumchukia aliyekuwa mpenzi wako?
Kitendo cha kukuacha...
UKAWA WAJITOA RASMI BUNGENI, WAONDOKA MJINI DODOMA
8:01 AM
No comments
UMOJA wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo
umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya
kukiukwa kwa kanuni za bunge.
Akitangaza msimamo huo mjini Dodoma katika mkutano na waandishi wa
habari, kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe
amesema wabunge wote kutoka katika vyama vinavyounda umoja huo
hawataingia tena bungeni licha ya baadhi yao kuwa hawajaadhibiwa.
Umoja huo pia...
POLE MSANII BANZA:: HAKIKA TUMWACHIE MUNGU!
8:00 AM
No comments

Ugua pole! Hali ya mwanamuziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja
‘Banza Stone’ ni ya kumwachia Mungu kwani bado ni tete na watu wamekuwa
wakimiminika kwa ajili ya kumuona katika Hospitali ya Mwananyamala
jijini Dar alikolazwa.
Mwanamuziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ akiwa katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar alikolazwa.
Ijumaa Wikienda lilitia maguu kwenye hospitali hiyo na kufanikiwa
kumuona Banza ambaye...
Subscribe to:
Posts (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
WENGI wetu huchukulia ulaji wa karanga kama chakula cha kujiburudisha na kisichokuwa na umuhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Ki...
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
Mya Myat anataka aombwe msamaha na waandalizi wa shindano la taji hilo. ****** MSHINDI wa taji la urembo nchini Burma aliyenyang...
-
Martin Kadinda wakati akiwa na Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’. Na Mayasa Mariwata IMEKAA POA SANA! Ubuyu kutoka Ho...
-
Amesajiliwa: James Rodriguez ametambulishwa Real Madrid leo na kukabidhiwa jezi mamba 10 Uwanja wa Santiago Bernabeu MFUNGAJI bora ...