Monday, May 25, 2015

BAADA YA KUMPONDA DIAMOND THE PLATNUMZ DESIGNER MKUBWA WA MAREKANI ABADILI MANENO YAKE NA KUMKUBALI DIAMOND THE PLATNUMZ

Mbunifu wa mavazi toka Marekani anaeitwa Roper amelalamika sana kupitia Instagram kwamba Diamond kamuibia design yake...
Raper anayewavalisha wasanii wakubwa Marekani kama August Alsina, Future, Meek Mill nk ameandika hivi.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI