Thursday, October 30, 2014

GIZA NENE LATAWALA BONGO MOVIE BAADA YA KIFO CHA RAFIKI MKUBWA WA KANUMBA, MZEE MANENTO

RAIS wa shirikisho la wasanii Simon Mwakifwamba amethibitisha kufariki kwa Mzee Manento hapo jana na kusema kuwa msiba wake upo nyumbani kwake Kigogo/Mburahati jijini Dar es Salaam
Bado mtandao wa ULIMWENGU WA HABARI unafuatilia kwa karibu habari hizi na chanzo cha kifo cha mzee wetu huyu.
  Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa filamu alizocheza kiumakini na marehemu Kanumba. 
Hero of the church, Dar to lagos,fake pastor n.k pumzika kwa Amani
Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI