NYUMBANI KITAIFA

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BIASHARA

Ulimwengu wa habari.

MATAIFA MENGINE

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BURUDANI

Ulimwengu wa habari.

MAAJABU DUNIANI

Ulimwengu wa habari.

Wednesday, April 30, 2014

ELIMU KWA MADEREVA KUHUSU MABADILIKO YA NJIA ZA KATIKATI YA JIJI, MADEREVA KUWENI MAKINI KUSOMA ALAMA

 Askari wa Usalama Barabarani akitoa elimu ya mabadiliko ya njia za katikati ya Jiji la Dar es Salaam, kwa dereva wa gari dogo lenye namba za usajiri T 357 BZT, wakati likitaka kuelekea njia yenye alama inayozuia kupanda kutokana na mabadiliko ya njia ambayo yameanza rasmi kutumika kuanzia jana Aprili 28. Kwa sasa askari wa usalama Barabarani wameamua kusimama kwenye njia panda zote kwa ajili ya kutoa elimu na maelekezo kwa madereva...

SERIKALI YATUMIA ZAIDI YA SH. BILIONI 111 KUNUNUA MAZAO KWA WAKULIMA

Normal 0 false false false EN-GB X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari(Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika...

MDAU CHANGAMKIA FURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI

 Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mazoezi. Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi. Baadhi ya wanafunzi wakiwa darasani Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone,...

DIDIER KAVUMBAGU AIPA KISOGO YANGA, ASAINI AZAM FC

Normal 0 false false false EN-GB X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 Na Mwandishi Wetu, Dar MSHAMBULIAJI na mpachika mabao wa Yanga na Nahodha wa timu ya Taifa ya Burundi, Didier Kavumbangu, leo mchana amesaini Mkataba wa miaka miwili na mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC. Kavumbangu...

TBC NA CRI YAZINDUA TAMTHILIA YA KICHINA ILIYOTAFSIRIWA KWA LUGHA YA KISWAHILI

 Mkurugenzi Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Clement Mshana (kushoto) pamoja na Mshauri wa mambo ya Utamaduni Bw. Lzu Dong (kulia) wakipeana zawadi mara baada ya Uzinduzi wa Tamthilia ya Mapenzi na Furaha ya Kijana (Jin Tai Lang) uliofanyika jana katika Viwanja vya TBC jijini Dar es Salaam.  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Elisante Ole Gabriel akifurahi mara baada ya kukata utepe kama...

ZILIZOSOMWA ZAIDI