
Askari
wa Usalama Barabarani akitoa elimu ya mabadiliko ya njia za katikati ya
Jiji la Dar es Salaam, kwa dereva wa gari dogo lenye namba za usajiri T
357 BZT, wakati likitaka kuelekea njia yenye alama inayozuia kupanda
kutokana na mabadiliko ya njia ambayo yameanza rasmi kutumika kuanzia
jana Aprili 28. Kwa sasa askari wa usalama Barabarani wameamua kusimama
kwenye njia panda zote kwa ajili ya kutoa elimu na maelekezo kwa
madereva...