Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto) akimvisha medali ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2013/2014, Dk. Maria Kamm.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni tano Dk. Maria Kamm aliyetwaa Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2013/2014 ndani ya Ukumbi wa African Dreams uliopo Area D, Dodoma
Waziri Mkuu akimkabidhi tuzo, Anna Margareth Abdallah, kwa niaba ya mshindi wa pili ambaye ni Waziri wa Katiba na Sheria...
NYUMBANI KITAIFA
Ulimwengu wa habari.
KATIKA BIASHARA
Ulimwengu wa habari.
MATAIFA MENGINE
Ulimwengu wa habari.
KATIKA BURUDANI
Ulimwengu wa habari.
MAAJABU DUNIANI
Ulimwengu wa habari.
Monday, March 31, 2014
UZINDUZI WA TV 1 ULIVYOFANA, BURUDANI KABAMBE TOKA KWA NAVY KENZO NA BARNABAS
10:08 AM
No comments

TV 1 imekuwa ni runinga inayoshika kasi sana hapa mjini kitu kinachotishia hata uwepo wa wale wakongwe hapa mjini, mwishoni mwa mwezi uliopita televisheni hii mpya na maarufu hapa mjini kwa kuonyesha movies na vipindi kabambe vya burudani lakini pia ikiwa ni tv inayokuja vizuri katika uwanda wa habari, ilifanya uzinduzi wake ambao ulifanyika katika hoteli ya Southern Sun ambapo waliitisha mkutano na waandishi wa habari na kueleza mengi ikiwemo mambo...
Subscribe to:
Posts (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
WENGI wetu huchukulia ulaji wa karanga kama chakula cha kujiburudisha na kisichokuwa na umuhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Ki...
-
Jengo la Ghorofa 8 likiwa linateketea katika ghorofa ya 4,Jengo hilo linamilikiwa na mfanyabiashara anayejulikana kwa jina la Haji Kube ,...
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
Mya Myat anataka aombwe msamaha na waandalizi wa shindano la taji hilo. ****** MSHINDI wa taji la urembo nchini Burma aliyenyang...
-
Martin Kadinda wakati akiwa na Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’. Na Mayasa Mariwata IMEKAA POA SANA! Ubuyu kutoka Ho...