NYUMBANI KITAIFA

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BIASHARA

Ulimwengu wa habari.

MATAIFA MENGINE

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BURUDANI

Ulimwengu wa habari.

MAAJABU DUNIANI

Ulimwengu wa habari.

Tuesday, May 24, 2016

ALIKIBA AWAOMBA MASHABIKI KUMPIGIA KURA DIAMOND PLATNUMZ

Alikiba amewaomba watanzania kumpigia kura Diamond anayewania tuzo ya BET zitakazofanyika, Juni 26 Los Angeles, Marekani. Wiki iliyopita Diamond alitangazwa kuwania tuzo ya BET kwa mara ya pili kwenye kipengele cha Best International Act: Africa akiwa ni msanii pekee kutoka Afrika Mashariki huku tuzo hiyo ikiwaniwa na wasanii wengine kama Wizkid, Yemi Alade, AKA, Cassper Nyovest, Black Koffie, MZVEE na Serge Beynaud. Akiongea kwenye kipindi...

BABY J AKANUSHA KUWA MJAMZITO

Mwanadada anayefanya muziki wa Bongo Fleva akiwakilisha visiwa vya Zanzibar Baby J amekanusha tetesi zilizoenea kuwa ni mjamzito. Baby J ambaye muda mwingi yupo maskani yake Zanzibar ameimbia Bongo5 kuwa ukimya wake ndiyo umesababisha watu kuhusi kuwa ni mjamzito “Unajua kweli nimekuwa kimya lakini ni mipango naweka sawa na pia nilikuwa na mambo yangu ya kifamilia zaidi,” amesema. “Ila nashangaa watu kusema kuwa mimi ni mjamzito ni kitu ambacho...

HAWA NDIO WATANGAZAJI WAKALI TANZANIA WANAOFANYA RAP

NA JOHN SIMWANZA Watangazaji wa redio hasa vipindi vya burudani wamekua karibu sana na muziki hasa wa Hip hop /Rap na wengine kufikia hatua ya kutozizuia hisia zao ba kuamua kuingia studio na kufanya ngoma. Hata hivyo wamekuwa wanakosa sana support katika vituo vingine vya redio kucheza kazi zao. Ni wachache sana unaweza kuwasikia tofauti na vituo wanavyofanyia kazi. Hii inadhihirisha kuwa muziki wetu hapa bongo bado hauna umoja kutokana na matabaka...

ZILIZOSOMWA ZAIDI