Monday, September 21, 2015

BABU DUNI AKUSANYA MAELFU YA WANANCHI NYUMBANI KWA MAGUFULI

Mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akiwasili katika mkutano wa kampeni katika jimbo la Busanda mkoani Geita (20-09-2015).
Msafara wa mgombea mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni ukiwasili katika kata ya Katolo wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Busanda mkoani Geita.
#Picha na Francis Dande

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI