Staa wa muziki wa miondokop ya Bongofleva nchini Kassim Mganga amesema kuwa pamoja na maneno ambayo yamekuwa yakimlenga msanii Q Chila kuhusu kiwango chake kuwa si ndivyo, yeye binafsi ataendelea kumsaidia katika muziki.Kassim amesema kuwa huwezi kumzuia mtu kuzungumza kutokana na ukweli kwamba kila mtu anazungumza maneno ambayo hujui yupo katika hali gani, akiweka wazi kuwa Q Chilla ni ndugu yake na atazidi kumpa sapoti katika muziki wake.
Saturday, August 1, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
Baadhi wa washiriki wa kliniki ya soka ya Kimataifa ya Airtel Rising Stars wakifuatilia kwa umakini mafunzo ya darasani kwenye uwanja...
-
Je Unajua Siri ya herufi ya mwanzo ya jina lako?. Soma hapa utaweza kuelewa Tabia zako au tabia za rafiki au mpenzi wako. HERUFI A ...
-
TAMASHA la Kili Music Tour limekamilisha awamu ya kuzunguka mikoani kwa show iliyofana katika uwanja wa Mkwakwani Tanga. Tamasha hilo...
-
KUPIGA punyeto kwa muda mrefu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya tatizo la la ukosefu wa nguvu za kiume. Asilimia kubwa ya vijana wenye ta...
0 comments:
Post a Comment