Wednesday, January 7, 2015

MESSI AWAPIKU RONALDO & SUAREZ KWA KUWA MCHEZAJI GHARI ZAIDI DUNIANI

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Barcelona Lionel Messi ambaye jina lake limekuwa Maarufu katika mchezo wa soka duniani amekuwa ghali Zaidi ya Wachezaji wengine ambao wanashindana na Messi katika ubora wa kiwango Duniani.
Orodha hiyo imeyonyesha majina ya wachezaji na viwango vya fedha ambazo zimekuwa zikutumika kuwasajili wachezaji hao kwenda katika vilabu Tajiri.
Lionel Messi £172.6m 2. Cristiano Ronaldo £104.3m 3. Eden Hazard £77.6m 4. Diego Costa £65.9m 5. Paul Pogba £56.4m 6. Sergio Aguero £51m 7. Raheem Sterling £49.4m 8. Cesc Fabregas £48.6m 9. Alexis Sanchez £47.8m 10. Gareth Bale £47m
Mchezaji mwingine ambaye amekuwa anahusishwa kuingia katika ushindani ni Luis Suarez, ambaye alikuwa nyuma ya Messi na Cristiano kwa kwa kiwango cha paundi 107,000,000 kabla ya Kombe la Dunia na baada ya miezi minne.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI