Monday, June 30, 2014

HEE!!! UNAAMBIWA HIZI NI BAADHI YA TABIA WATU WAZIFANYAZO NDANI YA USAFIRI WA UMMA AMBAZO NI KERO KWA WATU WENGINE HUKO MAJUU!!!

KIUKWELI kama wewe ni mdau na mtumiaji mzuri wa usafiri wa Umma maarufu kama Daladala utakubaliana nami kuwa mtu anapoingia katika basi la abiria na kuanza kuongea na simu kwa sauti kubwaaaa, kama vile amepanda gari hilo peke yake, au mtu anakikwapaaa halafu anakuwekea karibu na pua yako, mmmmh yaani inakeera sana!!!
Kumbe hata kwa wenzetu haya mambo yapo??? Duuuh!!!
Juu na chini ni baadhi ya tabia za watu wazifnyazo wanapotukuwa wanatumia usafiri wa umma ambao hua kero kwa watu wengine.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI