Mtoa mada Catherine Gembe akielezea kuhusu Mchakato wa Mawasiliano wakati alipokua akitoa mada ya Uongozi katika Mkakati wa Mawasiliano ya Afya (Leadership in Strategic Health Communication). Katika mafunzo ya wiki mbili yanayojumuisha wadau toka sekta mbalimbali mjini Iringa.Washiriki wa Mafunzo ya wiki mbili wakifuatilia kwa makini mada toka kwa mwamasishaji(hayuko pichana),kuhusu Uongozi katika Mkakati wa Mawasiliano ya Afya, yanayofadhiliwa na Serikali ya Marekani kupitia mradi wa Tanzania Capacity and Communication Project (TCCP), mjini Iringa.
Wednesday, April 2, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
TOKA kwenye wimbo mkali wa Alaine na Wyre, Demarco na Redsan,bado tunaona collabo mpya za Wakenya na Wajamaica. Hii video mpya ya Red...
-
BAO la dakika ya 83 la kinda Kevin Friday limeinusuru Azam FC kulala mbele ya Yanga SC baada ya kulazimisha sare ya kufungana 1-1 katika ...
0 comments:
Post a Comment