NYUMBANI KITAIFA

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BIASHARA

Ulimwengu wa habari.

MATAIFA MENGINE

Ulimwengu wa habari.

KATIKA BURUDANI

Ulimwengu wa habari.

MAAJABU DUNIANI

Ulimwengu wa habari.

Tuesday, September 30, 2014

SENTENSI 'KUNTU' ALIZOZIONGEA MUME WA LADY JAY DEE, GADNER G. HABASH KWENYE MKASI!

MTANGAZAJI Gardner G. Habash ni miongoni mwa Watangazaji hodari ambao Tanzania imewahi kuwa nao ambapo alianza kwa kusikika kupitia CloudsFM kwenye shows mbalimbali ikiwemo Jahazi kabla ya kuanza kazi.Wakati huu ambapo kumekua na stori zilizoenea mtaani kuhusu yeye na ndoa yake pia kazi, show ya TV ya Mkasi inayoongozwa na mtangazaji Salama Jabir imepata nafasi Exclusive ya kuongea nae. Zifuatazo hapa chini ni baadhi ya sentensi alizoziongea...

MAGAZETI YA LEO JUMATANO 01/10/2014

...

VANESSA MDEE ALIA NA WATANZANIA

VANESSA MDEE ambaye yeye pamoja na Diamond Platnumz na Peter Msechu wamechaguliwa kuwania tuzo za ‘All Africa Music Awards, AFRIMA 2O14, amesema kama Watanzania watawaunga mkono wana nafasi ya kuiletea nchi sifa kubwa.   Vanessa amesema kuwa muziki wake unaonesha mwanzo mzuri wa kuanza kutambulika zaidi kimataifa. “Inaonyesha ile kazi tunayofanya kila siku tunavyoamka tunaenda studio, tunavyofanya show tunaonekana tunakubalika,”...

ANGALIA PICHA NDEGE KUBWA YA ABIRIA DUNIANI ILIYOANZA SAFARI NDEFU ZAIDI

SHIRIKA la ndege la Australia linalofahamika kama Qantas limeanza kurusha ndege yake ambayo inatajwa kuwa kubwa zaidi ya abiria duniani na inayofanya safari zake kwa umbali mrefu zaidi. Ndege hiyo iliyotwa kama Airbus A380 ilitua katika uwanja wa kimataifa wa Dallas-Fort Worth saa 15 tangu ilipoondoka Sydney, Australia safari ya Kilometer 13,805 ikiwa na abiria 480. Uwanja wa kimataifa wa Dallas- Fort Worth ni uwanja mkubwa...

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

. ...

BONGO MOVIE MAJANGA:: ANGALIA WALICHOFANYA IRINE UWOYA NA RICHIE, KINAKUBALIKA? *VIDEO*

Tasnia ya filamu nchini huenda ikawa na mengi yanayofanyika nyuma ya pazia wakati wa majaribio ya kutafuta shots nzuri zenye uhalisia hasa kwenye scene za mapenzi! Lakini napata kigugumizi kikali kwa kile kilichoonekana kwenye video hii inayoaminika kuwa ni kipande cha filamu mpya inayotarajia kutoka iliyowakutanisha Rich na Irene Uwoya ambao wanaonekana wakibadilishana mate kwa kiss za uweli. Je, uhalisia huu kwenye filamu za...

CHAMA KIPYA CHA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY ‘ACT’ CHAPOKEA WANACHAMA WAPYA

  Mwanachama wa zamani wa CHADEMA, Batuli Abdallah  akijieleza mbele ya wanahabari (hawako pichani)    Yassin Bahama aliyekuwa mwanachama wa zamani wa Chadema akizungumza.  Mohamed Ngulangwa aliyekuwa mwanachama wa zamani wa CCM akivaa fulana ya chama hicho.  Wajumbe waliohudhuria mkutano.  Mwenyekiti  wa ACT,  Hamis Chambuso akiwa...

RAILA ODINGA ACHAPWA VIBOKO UKUMBINI WAKATI AKICHEZA NGOMA

HALI ya taharuki iliibuka katika mkutano wa hadhara katika jimbo la Kwale nchini Kenya, baada ya mwanamume mmoja kwenda ukumbini na kuanza kutandika bakora kiongozi wa upinzani Raila Odinga pamoja na wanasiasa wengine. Raila alikuwa amejiunga na kikundi cha wanawake waliokuwa wanacheza densi ya kitamaduni kuwatumbuiza wageni, pamoja na gavana wa jimbo la Kwale Pwani ya Kenya Salim Mvuruya katika mkutanmo wa kisiasa. Walikuwa wameambatana...

BAADA YA KUPATA TUZO MBILI HIKI NDICHO ALICHOKISEMA MSANII RAY

NI POST ya mwigizaji staa wa Tanzania Ray ‘Vicent Kigosi’ instagram ambayo ni baada ya kupata tuzo mbili juzi ambazo ni Life achievement Award na Best Director. Ameandika >>> ‘Kila kwenye nia kuna njia, tulivyoanza tulionekana kama wauza sura tu lakini sasa hivi naweza sema kuwa tunayafaidi matunda tuliyoyavumilia kwa muda mrefu sana, naweza kuthubutu kusema kuwa sekta ya bongo movie ndio sekta ya bongo iliyotoa ajira kwa vijana...

BREAKING NEWS: EBOLA YATUA NCHINI MAREKANI KWA OBAMA

Ugonjwa wa Ebola bado unapasua vichwa vya wanasayansi walio wengi katika kuutafutia chanjo ama tiba ili kukabiliana nao, ingawa mpaka sasa walau kuna matumaini ya dawa ya Zimapp. Mgonjwa wa kwanza ametambuliwa nchini Marekani eneo la Dallas, Texas mahali amabako utafiti wa kilimo unafanyika . Mgonjwa huyo aliyegunduliwa bado hajatambuliwa na ametengwa kwa uchunguzi ili kumfuatilia na kuepusha kuambukiza watu wengine.Mtu...

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

...

ZILIZOSOMWA ZAIDI