
MTANGAZAJI
Gardner G. Habash ni miongoni mwa Watangazaji hodari ambao Tanzania
imewahi kuwa nao ambapo alianza kwa kusikika kupitia CloudsFM kwenye
shows mbalimbali ikiwemo Jahazi kabla ya kuanza kazi.Wakati huu ambapo
kumekua na stori zilizoenea mtaani kuhusu yeye na ndoa yake pia kazi,
show ya TV ya Mkasi inayoongozwa na mtangazaji Salama Jabir imepata
nafasi Exclusive ya kuongea nae. Zifuatazo hapa chini ni baadhi ya
sentensi alizoziongea...