MSANII Ariana Grande na rapper Big Sean wamethibitisha kuwa ni
wapenzi baada ya kupigwa picha wakipeana busu ndani ya Universal Studios
huko Hollywood, Ariana mwenye miaka 21 na Big Sean ’26’ wamekuwa
wakificha mahusiano yao kwa muda sasa ila kwa sasa ushahidi wa picha
umeweka wazi mambo yote.
Thursday, October 9, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
Baada ya mama yake Beyonce ‘Tina Knowles’ kuweka na kutoa picha ya Solange na Jay Z instagram wakiwa kwenye lift pamoja, kitendo hichi k...
-
Muda mfupi baada ya Nicki Minaj kutangaza kupitia Twitter kuwa ameachana na Meek Mill, rapper huyo amemchana demu wake huyo wa zamani kw...
-
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe na Capt. William Silaa (baba yake Jerry Slaa), wamethibitika kupoteza maisha kwa ajali ya hel...
-
SIKU chache moja baada ya taarifa za rapa Rick Ross kukwepa kulipa kodi ya toka mwaka 2012 ambayo ni dola za kimarekani $5.7. Rick Ross...






0 comments:
Post a Comment