MSANII Ariana Grande na rapper Big Sean wamethibitisha kuwa ni
wapenzi baada ya kupigwa picha wakipeana busu ndani ya Universal Studios
huko Hollywood, Ariana mwenye miaka 21 na Big Sean ’26’ wamekuwa
wakificha mahusiano yao kwa muda sasa ila kwa sasa ushahidi wa picha
umeweka wazi mambo yote.
Thursday, October 9, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
WATU mbalimbali wamejitokeza katika mitaa ya jijini New York katika gwaride la mwaka kuadhimisha tamasha la 41 la kiutamaduni maarufu ka...
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, Ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu, familia yangu na viongozi wangu wa chama na wananchi wa Jimbo langu. Nawas...
0 comments:
Post a Comment