Saturday, August 16, 2014

SHILOLE AFUNGUKA SABABU ZA KURUDIANA NA MZIWANDA BAADA YA KUACHANA KWA SIKU MOJA

nuhu
SHILOLE alisema mpenzi wake huyo aligundua kwamba aliteswa na wivu na kusababisha wagombane hivyo alipotambua kosa lake, aliomba msamaha wakarudiana na mambo yakawa swari.
“Kikubwa ni kwamba ameomba msamaha ndiyo maana na mimi sikuwa na hiyana, nikapatana naye siku chache tu baada ya kugombana,” alisema Shilole.
Hivi karibuni wawili hao waliripotiwa kuwa wamegombana na kila mtu kuchukua hamsini zake.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI