Saturday, August 16, 2014

IRENE UWOYA: "HAKUNA VAZI NISILOPENDA KULIVAA KAMA CHUP*"

MREMBO na staa wa filamu nchini Irene Uwoya amesema kuwa hakuna vazi asilolipenda kulivaa kama chupi a.k.a kufuli. 
Irene amesema hayo alipokuwa akizungumza na jarida maarufu la burudani la VIBE
Alipoulizwa na mwandishi wa jarida hilo kuwa ni nguo gani ni vigumu kuikuta kwenye kabati lake, “Chupi – sipendi kabisa hilo vazi” Alisema Irene uwoya.

Irine Uwoya
Irine Uwoya

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI