| Miss Redds Iringa 2013 Neema Mality Onyesho la Redds Miss Iringa 2014 sasa kufanyika Juni 20 katika ukumbi wa St Dominic mjini hapa kwa kiingilio cha Tsh 10,000 Onyesho hilo litasindikizwa na burudani ya kufa mtu kutoka kwa msanii Mo Music anayetamba kwa wimbo ngoma yake Basi Nenda, hakunaga kama Redd Miss Iringa ni zaidi ya maonyesho kama hayo uliyopata kuyashuhudia kwani warembo wake ni bomba mbaya kutoka vyuo vikuu vyote vya Iringa na warembo wenye mvuto kutoka mkoa wa Iringa. |
Saturday, June 7, 2014
REDDS MISS IRINGA KUFANYIKA JUNI 20 ,KITUO CHA RADIO CHA NURU FM CHAKABIDHIWA MIKOBA YA KUANDAA
6:41 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
WAPENDA USAWAAina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi niwanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba...
-
Tasnia ya filamu nchini huenda ikawa na mengi yanayofanyika nyuma ya pazia wakati wa majaribio ya kutafuta shots nzuri zenye uhalisia h...
-
Bendera ya Tanzania na Namibia. Ndege ya Rais ikiwasili. Rais wa Namibia, Hag...






0 comments:
Post a Comment