| Miss Redds Iringa 2013 Neema Mality Onyesho la Redds Miss Iringa 2014 sasa kufanyika Juni 20 katika ukumbi wa St Dominic mjini hapa kwa kiingilio cha Tsh 10,000 Onyesho hilo litasindikizwa na burudani ya kufa mtu kutoka kwa msanii Mo Music anayetamba kwa wimbo ngoma yake Basi Nenda, hakunaga kama Redd Miss Iringa ni zaidi ya maonyesho kama hayo uliyopata kuyashuhudia kwani warembo wake ni bomba mbaya kutoka vyuo vikuu vyote vya Iringa na warembo wenye mvuto kutoka mkoa wa Iringa. |
Saturday, June 7, 2014
REDDS MISS IRINGA KUFANYIKA JUNI 20 ,KITUO CHA RADIO CHA NURU FM CHAKABIDHIWA MIKOBA YA KUANDAA
6:41 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Waimbaji wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Villag...
-
SASA ni miaka nane tangu aanze kucheza soka ya ushindani mwaka 2005 katika klabu ya Kagera Sugar ya Bukoba, lakini kwa namna ali...
-
BAADA ya kufunga ndoa na Bilionaire kutoka nchini Qatar 'Wissam Al Mana, Janet Jackson alipotea kabisa kwenye mambo ya muziki na kw...






0 comments:
Post a Comment