| Miss Redds Iringa 2013 Neema Mality Onyesho la Redds Miss Iringa 2014 sasa kufanyika Juni 20 katika ukumbi wa St Dominic mjini hapa kwa kiingilio cha Tsh 10,000 Onyesho hilo litasindikizwa na burudani ya kufa mtu kutoka kwa msanii Mo Music anayetamba kwa wimbo ngoma yake Basi Nenda, hakunaga kama Redd Miss Iringa ni zaidi ya maonyesho kama hayo uliyopata kuyashuhudia kwani warembo wake ni bomba mbaya kutoka vyuo vikuu vyote vya Iringa na warembo wenye mvuto kutoka mkoa wa Iringa. |
Saturday, June 7, 2014
REDDS MISS IRINGA KUFANYIKA JUNI 20 ,KITUO CHA RADIO CHA NURU FM CHAKABIDHIWA MIKOBA YA KUANDAA
6:41 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Muda mfupi baada ya Nicki Minaj kutangaza kupitia Twitter kuwa ameachana na Meek Mill, rapper huyo amemchana demu wake huyo wa zamani kw...
-
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe na Capt. William Silaa (baba yake Jerry Slaa), wamethibitika kupoteza maisha kwa ajali ya hel...
-
Marehemu Kipa Fundi Kipande (wa pili kutoka kushoto waliosimama akiwa na kikosi cha Kivule Veteran kabla ya kupambana na timu ya Pugu K...
-
KATIKA Exclusive interview na msanii Gabu aka Buganya Wa P Unit kuhusu tetesi za kuvunjika kwa kundi lao mwezi huu, Gabu amesema “Hiz...






0 comments:
Post a Comment