Miss Redds Iringa 2013 Neema Mality Onyesho la Redds Miss Iringa 2014 sasa kufanyika Juni 20 katika ukumbi wa St Dominic mjini hapa kwa kiingilio cha Tsh 10,000 Onyesho hilo litasindikizwa na burudani ya kufa mtu kutoka kwa msanii Mo Music anayetamba kwa wimbo ngoma yake Basi Nenda, hakunaga kama Redd Miss Iringa ni zaidi ya maonyesho kama hayo uliyopata kuyashuhudia kwani warembo wake ni bomba mbaya kutoka vyuo vikuu vyote vya Iringa na warembo wenye mvuto kutoka mkoa wa Iringa. |
Saturday, June 7, 2014
REDDS MISS IRINGA KUFANYIKA JUNI 20 ,KITUO CHA RADIO CHA NURU FM CHAKABIDHIWA MIKOBA YA KUANDAA
6:41 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Mrembo Caroline Bernard akipungia mkono muda mfupi baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndio Miss Univerce 2014, katika hafla iliyofanyika usik...
-
Beyonce na Jay Z katika pozi HIT MAKER wa Drunk in Love, Beyonce Knowles amezima tetesi za kuwa na ujauzito baada ya kumwaga picha za k...
-
VYANZO vingi vya vimbe bado havijafahamika kitafiti lakini kuna baadhi ya vimbe vyanzo vyake vinajulikana na ni vema na wewe ukavitambu...
-
TV 1 imekuwa ni runinga inayoshika kasi sana hapa mjini kitu kinachotishia hata uwepo wa wale wakongwe hapa mjini, mwishoni mwa mwezi ulio...
0 comments:
Post a Comment