| Miss Redds Iringa 2013 Neema Mality Onyesho la Redds Miss Iringa 2014 sasa kufanyika Juni 20 katika ukumbi wa St Dominic mjini hapa kwa kiingilio cha Tsh 10,000 Onyesho hilo litasindikizwa na burudani ya kufa mtu kutoka kwa msanii Mo Music anayetamba kwa wimbo ngoma yake Basi Nenda, hakunaga kama Redd Miss Iringa ni zaidi ya maonyesho kama hayo uliyopata kuyashuhudia kwani warembo wake ni bomba mbaya kutoka vyuo vikuu vyote vya Iringa na warembo wenye mvuto kutoka mkoa wa Iringa. |
Saturday, June 7, 2014
REDDS MISS IRINGA KUFANYIKA JUNI 20 ,KITUO CHA RADIO CHA NURU FM CHAKABIDHIWA MIKOBA YA KUANDAA
6:41 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Muda mfupi baada ya Nicki Minaj kutangaza kupitia Twitter kuwa ameachana na Meek Mill, rapper huyo amemchana demu wake huyo wa zamani kw...
-
HUENDA ukakutana barabarani na Hanifa Daud ‘Jennifer’ pamoja na Othman Njaidi ‘Patrick’ ambayo ni zao la marehemu Steven Kanumba na usiw...
-
Mshindi wa TMT 2015 #mpakakieleweke, Denis Laswai akiwa ameinua mikono juu kuashiria ishara ya kumshukuru Mungu Mara baada ya Kutangazw...






0 comments:
Post a Comment