Tuesday, April 1, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL APANDA MTI KUADHIMISHA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bilal, akipanda mti wa Mwembe nje ya Ofisi yake mpya ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya kupanda miti. 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bilal, akipanda mti wa Mwembe nje ya Ofisi yake mpya ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya kupanda miti. Wa pili (kulia) ni Mkurugenzi wa Mazingira Dkt. Ningu.
Baadhi ya wafanyakazi wa ofisi ya Makamu wa Rais wakipata picha ya pamoja na mhe. Bilal
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Makamu wakati akizungumza nao.
  Umakini wa kumsikiliza Bosi.....

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI