Sunday, June 15, 2014

WHAAT HONEYMOON!!!? PAPARAZI WANASA PICHA ZA KIM KARDASHIN AKIWA NA BIKIN* KWENYE FUKWE ZA MEXICO

Lazy days: The reality star is enjoying an extended vacation after her wedding to Kanye last month
Bikini goddess! Kim Kardashian shows off her incredible on her unofficial second honeymoon with husband Kanye West in Punta Mita in Mexico on Tuesday
Picha mpya zinazosumbua mitandaoni za wanandoa hawa wakiwa katika honeymoon!!!

Kicking back: Kim told UsWeekly in December last year that she still allows herself 'cheat days' on her strict work out regimeThe simple life: The Keeping Up With The Kardashians star teamed her two piece with a simple gold necklace, with her dark hair piled on top of her headFamous figure: Kim proudly showed off her curves in the off white two piece

The newlyweds: Kim and Kanye relaxed poolside at a Mexican villa owned by her pal, Girls Gone Wild founder Joe Francis

Casa Aramara: Guests have access to private spa treatments, five-star chefs, 24-hour butler service, personal training, whale watching, and scuba diving
Hotel ambayo wawili hao wanamalizia fungate lao la pili.
MDA mwingine usupastaa shidaah, sasa kama hivi hawa watu popote waendapo maisha yao yapo wazi kwa kadamnasi, kwani hawawezi hata ku** bila wapiga picha kujisogeza,
Na nikwambie tu mpenzi msomaji, mapaparazi wa ulaya ni shida balaa kwani wakiamua kunasa jambo watalisaka mpaka walipate tu,
Hizi ni picha mpyaa kabisa zinazosumbua mitandaoni kwa sasa za mwanadada Kim Kardashian na kwa mbaali unauona mzee mzima Kanye akiwa kama anaelewa hivi kitu kinachoendelea,, 
Yani kama anajua kuwa mapaparazi wako upande gani na wanachukua picha zao, naye hana shida, amabaki kutulia tu kwani anaujua mziki wa mapaparazi hao, kuwa ni wapekuzi na wafukunyuku, yaaani wanafukunyuaaa mpaka wapate wanachokitaka.
Mmmmh hayo ndio maisha ya masupastaa wa nje, hawaigiziii, ndio maisha yao sasa ukiona hivi, angalia tu mitandaoni utaona wabongo wanavyoanza kuiga hasa hasa wale waaaa… aaaah siwataji utaona picha zao wakiwa mitaondi eti ndio Kim na Kanye wa Bongo. 
Acheni hizo za kuigaaa… Aaaah!
Jus live your life bhana!!! 

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI