Saturday, June 14, 2014

UJENZI WA SOKO LA MCHIKICHINI WAFANYWA NA WAFANYABIASHARA WENYEWE!!!



Katika kuona kuwa mambo hayaendi, wafanyabiashara wa soko lililoungua la mchikichini wameamua kuanza kujenga mabanda yao ili kuendelea kutoa huduma kwa wateja wao ambao kutokana na moto huo wamekosa huduma kwa muda.
Mtandao huu wa ULIMWENGU WA HABARI unawapa pole wafanyabiashara wote waliofikwa na kadhia hiyo.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI