Monday, April 28, 2014

CLINIKI YA ARS YA VIJANA 72 KUTOKA NCHI 12 ZA AFRIKA YAFUNGWA RASMI

 Mkurugenzi wa Masoko Airtel Tanzania Levi Nyakundi akiongea na waandishi wa habari wakati wa kufunga kliniki ya kimataifa ya soka ya siku tano ya Airtel Rising Stars kwenye uwanja wa Azam Compex. Kliniki hiyo ilileta pamoja vijana zaidi ya 70 kutoka nchi 12 Barani Afrika.
 Kocha Neil Scott kutoka shule za soka ya vijana za Manchester United akiongea kwenye sherehe za kufunga kliniki ya soka ya kimataifa ya Airtel Rising Stars kwenye uwanja wa Azam Compex. Kliniki hiyo ilileta pamoja vijana zaidi ya 70 kutoka nchi 12 Barani Afrika. Pamoja naye ni Andrew Stoke kutoka MUSS and Mkurugenzi wa Masoko Airtel Tanzania Levi Nyakundi.
 Mchezaji wa timu ya Tanzania ya Airtel Rising Stars Joseph Prosper, akipokea cheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko Airtel Tanzania Levi Nyakundi baada ya kumalizika kwa kliniki ya soka ya kimataifa ya Airtel Rising Stars kwenye uwanja wa Azam Compex. Kliniki hiyo ilileta pamoja vijana zaidi ya 70 kutoka nchi 12 Barani Afrika. Kushoto ni Meneja Uhusiano Airtel Tanzania Jackson Mmbando.
 Mchezaji wa timu ya Sierra Leone ya Airtel Rising Stars Fatmata Mansaroly, akipokea cheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko Airtel Tanzania Levi Nyakundi baada ya kumalizika kwa kliniki ya soka ya kimataifa ya Airtel Rising Stars kwenye uwanja wa Azam Compex. Kliniki hiyo ilileta pamoja vijana zaidi ya 70 kutoka nchi 12 Barani Afrika. Kushoto ni Meneja Uhusiano Airtel Tanzania Jackson Mmbando
Timu ya Tanzania ya Airtel Rising Stars wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa kliniki ya siku tano ya soka ya kimataifa ya Airtel Rising Stars kwenye uwanja wa Azam Complex. Waliokaa kutoka kushoto ni – Kocha mkuu wa timu ya Wanawake Tanzania Rogasian Kaijage, Mkurugenzi Masoko Airtel Tanzania Levi Nyakundi na Makocha kutoka shule za soka ya vijana za Manchesterb United Neil Scott na Andrew Stokes.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI