Wednesday, November 16, 2016

KERI HILSON NI SINGLE GIRL, ATAJA ANACHOJUTIA KWENYE MAHUSIANO NA BALLER SERGE IBAKA

RNB Diva Keri Hilson amethibitisha kuwa ameachana na mpenzi wake wa muda mrefu ambaye ni mchezaji wa NBA Serge Ibaka.
Kwenye interview na Rolling Out Magazine anasema “Kuwa kwenye mahusiano na rapa,mwigizaji, mwanamichezo maarufu ilikuwa mwiko kwangu, sikutaka kabisa, nimekiuka sheria nilizojiwekea mwenyewe,nilikubali sababu nilijua ni mtu tofauti, sio mvuto wala pesa, nampenda mtu anaye mpenda Mungu
Keri Hilson amekuwa kimya kwa muda mrefu ila sasa yupo studio akianda album mpya itakayoitwa  L.I.A.R. (Love is a Religion).

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI