Alikiba amewaomba watanzania kumpigia kura Diamond anayewania tuzo ya BET zitakazofanyika, Juni 26 Los Angeles, Marekani.
Wiki iliyopita Diamond alitangazwa kuwania tuzo ya BET kwa mara ya pili kwenye kipengele cha Best International Act: Africa akiwa ni msanii pekee kutoka Afrika Mashariki huku tuzo hiyo ikiwaniwa na wasanii wengine kama Wizkid, Yemi Alade, AKA, Cassper Nyovest, Black Koffie, MZVEE na Serge Beynaud.
Akiongea kwenye kipindi...
NYUMBANI KITAIFA
Ulimwengu wa habari.
KATIKA BIASHARA
Ulimwengu wa habari.
MATAIFA MENGINE
Ulimwengu wa habari.
KATIKA BURUDANI
Ulimwengu wa habari.
MAAJABU DUNIANI
Ulimwengu wa habari.
Tuesday, May 24, 2016
BABY J AKANUSHA KUWA MJAMZITO
10:00 AM
No comments
Mwanadada anayefanya muziki wa Bongo Fleva akiwakilisha visiwa vya Zanzibar Baby J amekanusha tetesi zilizoenea kuwa ni mjamzito.
Baby J ambaye muda mwingi yupo maskani yake Zanzibar ameimbia Bongo5 kuwa ukimya wake ndiyo umesababisha watu kuhusi kuwa ni mjamzito
“Unajua kweli nimekuwa kimya lakini ni mipango naweka sawa na pia nilikuwa na mambo yangu ya kifamilia zaidi,” amesema. “Ila nashangaa watu kusema kuwa mimi ni mjamzito ni kitu ambacho...
HAWA NDIO WATANGAZAJI WAKALI TANZANIA WANAOFANYA RAP
9:58 AM
No comments
NA JOHN SIMWANZA
Watangazaji wa redio hasa vipindi vya burudani wamekua karibu sana na muziki hasa wa Hip hop /Rap na wengine kufikia hatua ya kutozizuia hisia zao ba kuamua kuingia studio na kufanya ngoma. Hata hivyo wamekuwa wanakosa sana support katika vituo vingine vya redio kucheza kazi zao. Ni wachache sana unaweza kuwasikia tofauti na vituo wanavyofanyia kazi. Hii inadhihirisha kuwa muziki wetu hapa bongo bado hauna umoja kutokana na matabaka...
Subscribe to:
Posts (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Matija Nastasic (Manchester City and Serbia) Gareth Bale (Wales and Real Madrid) Daniel Agger (Liverpool and Denmark) Zlatan Ib...
-
Pichani: Mike Sonko na Rachel Shebesh HIZI ni baadhi ya picha za Sonko na Shebesh. Mike Sonko alisema zilitengenezwa nakundi la...
-
KUPENDEZA ni vile mtu unavyojipanga katika mavazi, na moja ya mavazi mhimu kwa ukanda huu wa Afrika ni vazi la kitenge ambapo naweza se...
-
RECHO: Hapa ndipo yalipoanza kuandaliwa na kuzikwa kwenye makazi yake mapya mbinguni. Shimo dogo ni kaburi ya mtoto wake aliyefariki muda...
-
TIMU ya taifa Intamba Murugamba kutoka Burundi inajiandaa vilivyo kwa wiki ya pili sasa katika mechi za mtoano ya kufudhu CAN 2017 nchin...