MAELFU ya wananchi wa ndani na nje ya mkoa wa Arusha wamejitokeza kumpokea na kumsikiliza mgombea urais wa CHADEMA kupitia UKAWA na waziri mkuu wa zamani Mheshimiwa Edward Lowasa huku wakishuhudia wanachama wa (CCM) na viongozi akiwemo aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani Mh. Laurence Masha kukihama Chama Cha Mapinduzi na kujiunga na CHADEMA
Saturday, August 15, 2015
MAELFU WAJITOKEZA KUMPOKEA MHESHIMIWA LOWASSA JIJINI ARUSHA *PICHAZ*
8:16 AM
No comments
MAELFU ya wananchi wa ndani na nje ya mkoa wa Arusha wamejitokeza kumpokea na kumsikiliza mgombea urais wa CHADEMA kupitia UKAWA na waziri mkuu wa zamani Mheshimiwa Edward Lowasa huku wakishuhudia wanachama wa (CCM) na viongozi akiwemo aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani Mh. Laurence Masha kukihama Chama Cha Mapinduzi na kujiunga na CHADEMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
0 comments:
Post a Comment