Tuesday, July 15, 2014

RIHANNA ALIPOJIACHIA KWA KUVUA NGUO NA WACHEZAJI WA UJERUMANI *PICHAZ*

article-2690906-1FA0FC0F00000578-461_634x552

KATIKA fainali ya kombe la dunia msanii Rihanna aliweka wazi kuwa yeye ni shabiki wa Ujerumani tangu mechi inaanza.
Rihanna alikuwa kwenye jukwaa la watazamaji akiwa na jezi ya Ujerumani na alionekana akishangilia sana baada ya goli lililoipa ushindi ujerumani likifungwa.
article-2690906-1FA1257500000578-917_634x568
article-2690569-1F9CD2AF00000578-44_634x584
Baada ya mechi kuisha Rihanna alijumuika pamoja na wachezaji wa Ujerumani kusherekea ubingwa mara baada ya mechi. 
Hizi ni picha zake akiwa na wachezaji wa nchi hiyo.
article-2690906-1FA0FC0B00000578-428_306x423
article-2690906-1FA0FC0300000578-647_634x625
article-2690906-1FA0FC1300000578-54_306x423
article-2690906-1FA0FC1700000578-145_634x471

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI