"Wasanii wa Tanzania, wakati tunatetea kazi zenu kurasmishwa ili mfaidi jasho lenu, hawa mnaowaimbia Leo hawaikuinua mdomo wao kuwatetea. Kampeni zikiisha na thamani yenu imeisha. Tulipopaza sauti kupinga unyonyaji wa makampuni ya simu kwenye RBT hawa wanaoahidi kuwatetea Leo hata habari walikuwa hawana. Naomba mtafakari sana hatma ya tasnia yenu." Ameandika hayo katika akaunti yake ya Instagram.
Monday, August 24, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Picha ya marehemu Max iliyopambwa kwa maua msibani, katika viwanjwa vya leaders hii leo. Maximilian Ngube 'Max', enzi za uhai...
-
Na Musa Mateja KATIKA hali ya kushangaza, mastaa wa kike wa muziki, Esterlina Sanga ‘Linah’ na mwenzake Sarah Kaisi ‘Shaa’ waliibua gu...
-
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Jerome Valcke atawasili nchini Mei 1 mwaka huu ambapo atafungua semin...
-
Wachezaji wa Young Africans wakiwa mazoezni jana jioni katika Viwanja vya shule ya sekondari Loyola Kikosi cha timu ya Young African...








0 comments:
Post a Comment