"Wasanii wa Tanzania, wakati tunatetea kazi zenu kurasmishwa ili mfaidi jasho lenu, hawa mnaowaimbia Leo hawaikuinua mdomo wao kuwatetea. Kampeni zikiisha na thamani yenu imeisha. Tulipopaza sauti kupinga unyonyaji wa makampuni ya simu kwenye RBT hawa wanaoahidi kuwatetea Leo hata habari walikuwa hawana. Naomba mtafakari sana hatma ya tasnia yenu." Ameandika hayo katika akaunti yake ya Instagram.
Monday, August 24, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
TOKA kwenye wimbo mkali wa Alaine na Wyre, Demarco na Redsan,bado tunaona collabo mpya za Wakenya na Wajamaica. Hii video mpya ya Red...
-
BAO la dakika ya 83 la kinda Kevin Friday limeinusuru Azam FC kulala mbele ya Yanga SC baada ya kulazimisha sare ya kufungana 1-1 katika ...
-
STAA wa Nigeria David Adedeji Adeleke aka Davido ana hit nyingi tunazozijua Skelewu , Aye na ile Tchelete aliyofanya na wakal...
-
Mtu anaweza kupungua kilo ngapi kwa wiki ni swali ambalo watu wengi hujiuliza.Hasa pale wanapotaka kuanza arakati za kupunguza uzito.N...
0 comments:
Post a Comment