Tuesday, December 23, 2014

HOT PICHAZ ZA MASOGANGE MITANDAONI ZAZUA GUMZO…ZICHECK HAPA!!!

KATIKA mitandao ya kijamii picha hizi zimesambaa sana na kuzua maneno kwa watu wengi hasa wakijadili mavazi na jinsi mwanadada huyu anavyojiachia na kula ujana.
Mmmmmh mama hizi ni pigo za mbele mbele aisee, kibongo bongo sijui kama wanakuelewa lakini hope unaelewa pia kuwa wewe ni staa na wabongo wanakufuatilia.
 Kama anauliza vile…"Pozi hili vipi?" 
"au hili je>?" Mmmmh haya bhana kula maisha lakini pole pole basi unawakimbiza na kuwapeleka mputa mputa wakwale asee.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI