Diamond ameandika hivi katika a/c yake ya Facebook mda mchache uliopita "Tunaishi katika ulimwengu ambao Mwanamke akielezea Makosa anayotendewa na mpenzi wake anaonekana Kaonewa na anadai Haki yake.... Lakini Mwanaume akielezea Makosa anayotendewa na Mpenzi wake anaonekana Mshenzi anamdhalilisha Mwenzie.... je unafkiri ni kwanini? na je unahisi hiyo ndio sababu inayowapelekea wadada wengi kufanya vitu vya ajabu Wakiamini wanakimbilio…?"
Thursday, November 20, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
MTANDAO wa Swahili Worldplanet unaarifu kuwa, picha chafu zinazodaiwa kuwa za star wa filamu nchini Shamsa Ford na mbunge wa Chadema, ...
-
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema chama chake kimepata unafuu mkubwa baada ya kuondoka kwa kada wake m...
-
IDADI ya watu wanaoendelea kutajwa kupata tiba ya Ebola, imezidi kuongezeka, leo pia shirika la utangazaji Sky News wameripoti kuhus...
-
MCHEZAJI Cristiano Ronaldo amesaini mkataba mpya na klabu yake ya Real Madrid utakaomalizika Mwaka 2021, amesema anaweza kuendelea kuc...







0 comments:
Post a Comment