Diamond ameandika hivi katika a/c yake ya Facebook mda mchache uliopita "Tunaishi katika ulimwengu ambao Mwanamke akielezea Makosa anayotendewa na mpenzi wake anaonekana Kaonewa na anadai Haki yake.... Lakini Mwanaume akielezea Makosa anayotendewa na Mpenzi wake anaonekana Mshenzi anamdhalilisha Mwenzie.... je unafkiri ni kwanini? na je unahisi hiyo ndio sababu inayowapelekea wadada wengi kufanya vitu vya ajabu Wakiamini wanakimbilio…?"
Thursday, November 20, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Na Musa Mateja KATIKA hali ya kushangaza, mastaa wa kike wa muziki, Esterlina Sanga ‘Linah’ na mwenzake Sarah Kaisi ‘Shaa’ waliibua gu...
-
KAMA KUMBUKUMBU zako ziko sawa kuhusu yale malalamiko ya kukosewa kwa picha ya baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere kwenye noti ya shilin...
-
Mwenyekiti PAC-Zitto Kabwe(MB) KAMATI ya PAC imekutana na Benki Kuu ya Tanzania kupokea Maelezo kuhusu fedha tshs 201 bilioni za ak...
-
AMA kwa hakika duniani kuna mambo! wachuuzi wa kahawa yenye vijimambo ndani yake,ambayo ukiinywa tu basi inakupa mzuka wa kufany...







0 comments:
Post a Comment