Diamond ameandika hivi katika a/c yake ya Facebook mda mchache uliopita "Tunaishi katika ulimwengu ambao Mwanamke akielezea Makosa anayotendewa na mpenzi wake anaonekana Kaonewa na anadai Haki yake.... Lakini Mwanaume akielezea Makosa anayotendewa na Mpenzi wake anaonekana Mshenzi anamdhalilisha Mwenzie.... je unafkiri ni kwanini? na je unahisi hiyo ndio sababu inayowapelekea wadada wengi kufanya vitu vya ajabu Wakiamini wanakimbilio…?"
Thursday, November 20, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
WATU mbalimbali wamejitokeza katika mitaa ya jijini New York katika gwaride la mwaka kuadhimisha tamasha la 41 la kiutamaduni maarufu ka...
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, Ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu, familia yangu na viongozi wangu wa chama na wananchi wa Jimbo langu. Nawas...
0 comments:
Post a Comment