Saturday, October 11, 2014

HUAWEI TANZANA YALETA MAPINDUZI YA MAWASILIANO NCHINI

002.HUAWEI
Mkurugenzi  wa Kampuni ya HUAWEI Tanzania,Vicent Wen akitoa mada katika  mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya  Mawasiliano kuhusiana na kampuni yake  kwa kuleta maboresho ya mawasiliano ya simu hapa nchini ambapo wananchi wa vijijini na mjini wanaendelea kunufaika na huduma  ya kampuni hiyo kwa bei nafuu za simu.Mkutano huo ulifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
004.HUAWEI
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya  Mawasiliano wakifatilia mada iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi  wa Kampuni ya HUAWEI Tanzania,Vicent Wen(hayupo pichani)Kampuni hiyo inashirikiana na serikali katika kuboresha huduma za mawasiliano kwa wananchi wa vijijini na mjini kwa bei nafuu zaidi.
005.HUAWEI
003.HUAWEI
Mkurugenzi  wa Kampuni ya HUAWEI Tanzania,Vicent Wen akizungumza na waandishi wa habari  katika mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya  Mawasiliano kuhusiana na kampuni  hiyo  kwa kuleta maboresho ya mawasiliano ya simu hapa nchini ambapo wananchi wa vijijini na mjini  wanaendelea kunufaika na huduma  za kampuni hiyo kwa bei nafuu.
Mkutano huo ulifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI