Saturday, October 25, 2014

HABARI ILIYOTUFIKIA MUDA HUU: WAZIRI ARUSHIANA RISASI NA MWANAE, MOROGORO

Na Dustan Shekidele, Morogoro, GPL
NAIBU Waziri wa zamani wa Afya na Mbunge wa Morogoro kusini Mashariki, Lucy Nkya, amerushiana risasi za moto na mwanae wa kumzaa, Jonas Nkya ndani ya ofisi zao mkoani Morogoro muda si mrefu uliopita.
Tafadhali endelea kuwa nasi ULIMWENGU WA HABARI tukujuze zaidi juu ya habari hii..!

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI