Wednesday, March 26, 2014

GPL NA GLOBAL WOMAN OF THE YEAR 2013

Tuzo za The Woman Of The Year zinatarajiwa kutolewa Jumamosi wiki hii Machi 29, mjini Dodoma kuanzia saa 1:30 usiku ndani ya Ukumbi wa The African Dream. Hafla hii ni kwa wageni waalikwa na waheshimiwa wajumbe wa Bunge la Katiba, mgeni rasmi atakuwa Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI