Monday, August 24, 2015

NYUMBA YA MUGIZAJI BATULI YATEKETEA KWA MOTO NA VITU VYOTE VYA NDANI


Nyumba ya muigizaji wa kike, Batuli imeungua na moto siku ya jana, bado haijajulikana chanzo lakini hakuna aliyeumia lakini nyumba imeungua na vitu vyote vilivyokuemo kwenye nyumba hiyo japo bado haijajulikana thamani yake.
 batuli 2
Wema sepetu alituma mtandao wa Instagram kumpa pole rafiki yake

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI