Aliyekuwa waziri mkuu wa zamani na mwanachama wa CCM, Mh Frederick Sumaye amejiunga na UKAWA leo. Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar amesema ameamua kuondoka CCM kutokana na kutoridhishwa na maamuzi yaliyofanyika wakati wa kumteua Rais atayeikiwakilisha chama cha Mapinduzi (CCM)
Saturday, August 22, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Picha ya marehemu Max iliyopambwa kwa maua msibani, katika viwanjwa vya leaders hii leo. Maximilian Ngube 'Max', enzi za uhai...
-
Na Musa Mateja KATIKA hali ya kushangaza, mastaa wa kike wa muziki, Esterlina Sanga ‘Linah’ na mwenzake Sarah Kaisi ‘Shaa’ waliibua gu...
-
KAMA KUMBUKUMBU zako ziko sawa kuhusu yale malalamiko ya kukosewa kwa picha ya baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere kwenye noti ya shilin...
-
ENJOY VIDEO mpya ya wimbo wa Jux ‘Sisikii’, ambayo imetayarishwa na Zeddy Benson. Amehusika pia mpenzi wa Jux kwenye hii video ambaye ni ...
-
AMA kwa hakika duniani kuna mambo! wachuuzi wa kahawa yenye vijimambo ndani yake,ambayo ukiinywa tu basi inakupa mzuka wa kufany...







0 comments:
Post a Comment