Aliyekuwa waziri mkuu wa zamani na mwanachama wa CCM, Mh Frederick Sumaye amejiunga na UKAWA leo. Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar amesema ameamua kuondoka CCM kutokana na kutoridhishwa na maamuzi yaliyofanyika wakati wa kumteua Rais atayeikiwakilisha chama cha Mapinduzi (CCM)
Saturday, August 22, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
Joy Williams miaka 23 Doctor Sompob Sansiri aliyemfanyia upasuaji anadai ujuzi huo aliupata U.S NA ANAFANYA BKAZI HIYO TANGU 1998...
-
“Hakuna mtu anayependa kuwa kahaba (kujiuza) ila inatokana na sababu maalumu zinazomkabili mhusika,” anasema Happy katika mahojiano na g...
-
NI moja ya taarifa ambazo nimezisikia sana kwa wiki hii hapa Nairobi inayosema kuhusu Mchungaji mmoja maarufu kwenye mji huu kwa jina la...







0 comments:
Post a Comment