VIJANA hatari kwa matukio ya unyang'anyi maarufu kama Panya Road, wamevamia maeneo ya Ubungo na Sinza muda huu (jana usiku), ambapo hadi sasa askari wapo eneo la tukio sinza wadhibiti matukio yanayojaribu kufanywa na wa vijana hao huku mabomu ya machozi yakirindima pande hizo.
Saturday, January 3, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
TOKA kwenye wimbo mkali wa Alaine na Wyre, Demarco na Redsan,bado tunaona collabo mpya za Wakenya na Wajamaica. Hii video mpya ya Red...
-
BAO la dakika ya 83 la kinda Kevin Friday limeinusuru Azam FC kulala mbele ya Yanga SC baada ya kulazimisha sare ya kufungana 1-1 katika ...
0 comments:
Post a Comment