VIJANA hatari kwa matukio ya unyang'anyi maarufu kama Panya Road, wamevamia maeneo ya Ubungo na Sinza muda huu (jana usiku), ambapo hadi sasa askari wapo eneo la tukio sinza wadhibiti matukio yanayojaribu kufanywa na wa vijana hao huku mabomu ya machozi yakirindima pande hizo.
Saturday, January 3, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
Kwa mujibu wa Korea Kaskazini, Rais Barack Obama amekurupuka kusambaza uongo kuwa nchi hiyo ilishiriki kufanya shambulio la mtandaoni nda...
-
Johnny Strange kutoka Uingereza, umri wake ni miaka 26, jina lake linaandikwa kwa wino mzito kwenye Kitabu cha Kumbukumbu kubwa Duniani,...
-
Ni katika project mpya ambayo ni gumzo mitandaoni kwa sasa…ambayo inawaonesha wawili hao wakiwa katika faragha wakifaraghua kiundani kabi...







0 comments:
Post a Comment