VIJANA hatari kwa matukio ya unyang'anyi maarufu kama Panya Road, wamevamia maeneo ya Ubungo na Sinza muda huu (jana usiku), ambapo hadi sasa askari wapo eneo la tukio sinza wadhibiti matukio yanayojaribu kufanywa na wa vijana hao huku mabomu ya machozi yakirindima pande hizo.
Saturday, January 3, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
VALENTINE'S Day ama kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao, huadhimishwa kila Februari 14 ambapo kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, ...
-
Rostam Aziz M FANYABIASHARA maarufu Rostam Aziz ametoa taarifa kujibu madai yaliyotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu ya Chama Cha Demo...







0 comments:
Post a Comment