RAPPER Eminem amefunguka ya moyoni kwenye moja kati ya Interview alizofanya kabala ya mwaka 2014 kuisha na kikubwa alichosema ni kwamba anashiriki mapenzi ya jinsia moja almaarufu kama homosexual, Kama utakuwa shabiki wake miaka ya 2010 alikuwa miaongoni mwa mastaa wanafuatilia swala la usawa katika ndoa sasa zile itikadi ndizo hizi alizokuwa ikizimaanisha au inakuwaje?
Sunday, December 28, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
TOKA kwenye wimbo mkali wa Alaine na Wyre, Demarco na Redsan,bado tunaona collabo mpya za Wakenya na Wajamaica. Hii video mpya ya Red...
0 comments:
Post a Comment