KATIKA hali ya sintofahamu kwa mahusiano ya mastaa wakubwa wawili wanaopendwa sana na vijana,Wema Sepetu na Diamond ikiendelea wamewachanganya zaidi pale walipoamua kupromote show za mahasimu wawili wa Uganda, Wema akiwa kwa Dr. Jose na Diamond akiwa kwa the bosslady Zari, show ambazo zitapigwa tarehe moja lakini kumbi tofauti, ni kati ya show za gharama kuwahi kufanyika Uganda. na kua show za gharama Dr Jose na Zari ni mafahali wawili nchini humo hivyo siku hiyo watu wanasubiri waone ni wapi kutabamba sana, iliwahi kutokea hapa kwetu ambapo mwana FA alifanya show ya kuzindua album tarehe sawa na Lady Jaydee ambapo inasemekana Lady Jaydee alikamata mashabiki wengi kuliko mwana FA, lets wait tuone mwisho wa hizi Drama LOL.
Wednesday, November 26, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Samuel Afful na Yahaya Mohammed wakimwaga wino mbele ya Meneja Mkuu wa timu hiyo Abdul Mohamed. UONGOZI wa klabu ya Azam FC, umefa...
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) imetoa adhabu ya onyo kali na kukitaka kituo cha ITV kuomba radhi mara mbili mfululizo kweny...
-
TV 1 TANZANIA YAWA KIVUTIO KIKUBWA KATIKA TAMASHA LA NYAMA CHOMA FESTIVAL GRAND FINALE 2014 *PICHAZ*Banda la TV 1 Tanzania katika tamasha la Nyama Choma Festival Grand Finale 2014. MAANDALIZI…! Baadhi ya wachoma nyama wakiendelea ...







0 comments:
Post a Comment