KATIKA hali ya sintofahamu kwa mahusiano ya mastaa wakubwa wawili wanaopendwa sana na vijana,Wema Sepetu na Diamond ikiendelea wamewachanganya zaidi pale walipoamua kupromote show za mahasimu wawili wa Uganda, Wema akiwa kwa Dr. Jose na Diamond akiwa kwa the bosslady Zari, show ambazo zitapigwa tarehe moja lakini kumbi tofauti, ni kati ya show za gharama kuwahi kufanyika Uganda. na kua show za gharama Dr Jose na Zari ni mafahali wawili nchini humo hivyo siku hiyo watu wanasubiri waone ni wapi kutabamba sana, iliwahi kutokea hapa kwetu ambapo mwana FA alifanya show ya kuzindua album tarehe sawa na Lady Jaydee ambapo inasemekana Lady Jaydee alikamata mashabiki wengi kuliko mwana FA, lets wait tuone mwisho wa hizi Drama LOL.
Wednesday, November 26, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
IDADI ya watu wanaoendelea kutajwa kupata tiba ya Ebola, imezidi kuongezeka, leo pia shirika la utangazaji Sky News wameripoti kuhus...
-
KAMA KUMBUKUMBU zako ziko sawa kuhusu yale malalamiko ya kukosewa kwa picha ya baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere kwenye noti ya shilin...
-
AMA kwa hakika duniani kuna mambo! wachuuzi wa kahawa yenye vijimambo ndani yake,ambayo ukiinywa tu basi inakupa mzuka wa kufany...
-
Wafanyakazi wa shirika la Restless Tanzania, Mwadawa na Amne wakitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Pudenci...
-
WASANII hawa maarufu wamekuwa kivutio kikubwa kwa watu nchini hasa wale wapenda filamu kwani ni waendeshaji wa kipindi kinachosaka vipaj...







0 comments:
Post a Comment