KATIKA hali ya sintofahamu kwa mahusiano ya mastaa wakubwa wawili wanaopendwa sana na vijana,Wema Sepetu na Diamond ikiendelea wamewachanganya zaidi pale walipoamua kupromote show za mahasimu wawili wa Uganda, Wema akiwa kwa Dr. Jose na Diamond akiwa kwa the bosslady Zari, show ambazo zitapigwa tarehe moja lakini kumbi tofauti, ni kati ya show za gharama kuwahi kufanyika Uganda. na kua show za gharama Dr Jose na Zari ni mafahali wawili nchini humo hivyo siku hiyo watu wanasubiri waone ni wapi kutabamba sana, iliwahi kutokea hapa kwetu ambapo mwana FA alifanya show ya kuzindua album tarehe sawa na Lady Jaydee ambapo inasemekana Lady Jaydee alikamata mashabiki wengi kuliko mwana FA, lets wait tuone mwisho wa hizi Drama LOL.
Wednesday, November 26, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Mwenyekiti PAC-Zitto Kabwe(MB) KAMATI ya PAC imekutana na Benki Kuu ya Tanzania kupokea Maelezo kuhusu fedha tshs 201 bilioni za ak...
-
KUTOKA TEMEKE Dar es salaam ninayofuraha kukutanisha na vijana ambao sauti zao ni maarufu sana kwenye Radio sasa hivi….. Vijan...
-
ICHUNGULIE HAPA *VIDEO* HII YA DODOMA SINGIDA YA MTANZANIA ILIYOPIGWA MARUFUKU HUKO KENYA *UMRI 18+*MZALIWA wa Tanzania Colonel Mustafa ni msanii wa siku nyingi kwenye muziki Kenya alikokulia na kutengeneza nyimbo nyingi zikiwemo ‘hey ...
-
Mchana wa June 02 ndiyo yamefanyika mazishi ya mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe Bi.Shida Salum ambaye alifariki j...







0 comments:
Post a Comment