Wednesday, October 22, 2014

SIMANZI YATAWALA BONGO MUVI: KIFO CHA SHERRY MWANA WA INYE GWEDEGWEDE *PICHA*

SherrySIMANZI kuhusiana na  taarifa ya msiba wa aliyekuwa muigizaji wa Bongo Muvi.
Katika ukurasa wake wa instagram, muigizaji na mchekeshaji maarufu anayefahamika kwa jina la Kitale ama Mkude Simba (@mkudesimbaoriginal), amepost picha ya muigizajiShery Mwana aliyefariki masaa machache yaliyopita.
Kwa mujibu wa Kitale, muigizaji huyo mbaye jina lake halisi ni Sherry Charles Magali, aliwahi kushiriki na Kitale katika movie mbali mbali ikiwemo Kipotabo na Nyumba Nne.
Sherry II

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI