Friday, October 10, 2014

'FRENCH KISS' A.K.A DEND*A LA LINAH NA MWANA FA LIVE JUKWAANI LAZUA MAPYA!

Wanamuziki Hamisi Mwinjuma ‘MwanaFA’ na Estelina Sanga ‘Linah’, wakidendeka jukwaani.
*******
TUKIO hilo lilitokea juzikati ndani ya Uwanja wa Namfua mjini Singida wawili hao walipokuwa kwenye shoo ya Fiesta ambapo katika kusaka mzuka wa mashabiki, Linah alimsogezea uso FA na bila hiyana mahaba yakachukua nafasi.
Kufuatia tukio hilo, baada ya shoo mwandishi wetu alimfuata FA ili kumuuliza kulikoni aliamua kufanya vile ambapo hakutoa ushirikiano ila Linah alisema, hakuona shida kwani si jambo la ajabu sana kwake hasa linapokuja suala la burudani

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI