PRODUCER Man Maji Man Water ambaye jina lake kamili ni John Vomo Shariza Siku ya Jumamosi tarehe 21 Septemba 2014 katika kanisa la KLPT Kigamboni jijini Dar es salaam alifunga ndoa na mke wake anayejulikana kwa jina Matilda Jimmy Igoti katika ukumbi wa Karimjee Hall jijini Dar es salaam, Zitazame picha za yaliyojiri katika hafla hiyo.
Tuesday, September 23, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
VALENTINE'S Day ama kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao, huadhimishwa kila Februari 14 ambapo kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, ...
-
Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ akifanya yake stejini kabla ya kuachishwa kazi kwa ulevi uliokithi...
-
Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Waimbaji wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Villag...
-
Miss Sinza 2001, Husna Maulid akila ujana na modo maarufu Bongo anayejulikana kwa jina moja la Calisa. KABAANG! Miss Sinza 2001 na al...






0 comments:
Post a Comment