Saturday, August 23, 2014

PICHA DEREVA WA BODABODA ANUSURIKA KUFA KWA AJALI!

Baadhi ya watu wakishuhudia ajali ya gari ndogo na mwendesha bodaboda.
Pikipiki ikiwa imelazwa pembeni ya barabara.
Sehemu ya gari iliyoharibika baada ya kugongwa na bodaboda.

Gari likiwa limepaki pembeni kwa ajili ya maelewano kati ya dereva wa gari na bodaboda.
 MTU mmoja ambaye jina lake halikufahamika amenusurika kufa baada ya kuligonga gari dogo, tukio hilo limetokea maeneo ya katikati ya Boma na Msimbazi, jijini Dar es Salaam.
Katika ajali hiyo hakuna aliyeumia kwa sababu ya mwendo mdogo waliokuwa wanaendesha, ingawa pikipiki na sehemu ya gari viriharibika.
Na Gabriel Ng’osha/GPL

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI