Sunday, August 10, 2014

ANGALIA PICHA: KILI MUSIC TOUR ILIVYOFUNIKA MBEYA

 Mashabiki wakiingia katika uwanja wa New City Pub kushuhudia Kili Music Tour
Zembwela na Dulla wa EATV katika amsha amsha kabla ya show kuanza.

 Mkali kutoka Mbeya Izzo Bizness ndani ya backstage.
 Chibwa anaefanya miondoko ya Ragga ndie aliifuungua show ya Kili Music Tour Mbeya

 Shilole akionyesha uwezo wake wa kulishambulia jukwaa ikiwa ni pamoja na kumpandisha jukwaani mmoja wa mashabiki.

Backstage: AY na DJ ambaye pia ni meneja wake Arthur
Rich Mavoko na madansa wake stejini

 Mashabiki wakifurahia wasanii wanavyolishambulia jukwaa
 Massawe na Kimario kama wanavyopenda kuitwa waliendeleza utamaduni wao wa kufanya show kwa pamoja katika Kili Music Tour.

 Wadau wakifuatilia kinachojiri jukwaani toka pembeni ya jukwaa la Kili Music Tour.
 Mtoto wa nyumbani Izzo Bizness akiiwakilisha Mbeya katika Kili Music Tour

Shangwe la kutosha kwa mtoto wa nyumbani

 Profesa Jay akimtambulisha Mbunge wa Mbeya Mjini Mheshimiwa Joseph Mbilinyi, Sugu.
Mtangazaji wa Planet Bongo, Dullah hakuwa nyuma katika kuchukua matukio yanayoendelea jukwaani.
DJ Mafuvu katika mashine akihakikisha wasanii na mashabiki wanakwenda sawa
 Zamu ya Weusi na Viburi kuifunga show ya Kili Music Tour, Mbeya

Profesa Jay na Sugu wakifuatilia michano ya Weusi
Mashabiki wakionyesha love ya kutosha kwa Weusi.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI