WENGI wanasema ni moja ya hatua katika kuutangaza utamaduni na mavazi ya kiafrika kwani wasanii wakubwa kama hawa wanapovaa mavazi yao huwa ni chachu kwa mashabiki wake kuyavaa, Mwanakaka Chriss Breeezy ameonekana kutupia Kiafrika afrika kama anavyoonekana pichani hapo juu, nafikiri haya ni matunda ya wasanii wa kiafrika kuwa na uhusiano wa karibu na wasanii wakubwa kama Wiz Kid ambaye kwa sasa ana-hang out sana tu na kina Chriss na Rihanna pia.
Safi Chriss angalau unapata fleva ya kuwa na asili ya Kiafrika…!!!Friday, July 18, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
YOUNG DEE amefunguka sababu ya kumtumia Tunda kwenye video ya wimbo yake mpya wa Furaha. Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bon...
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
Rais Jakaya kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Tanzania 11 Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wache...
-
Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Waimbaji wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Villag...










0 comments:
Post a Comment