WENGI wanasema ni moja ya hatua katika kuutangaza utamaduni na mavazi ya kiafrika kwani wasanii wakubwa kama hawa wanapovaa mavazi yao huwa ni chachu kwa mashabiki wake kuyavaa, Mwanakaka Chriss Breeezy ameonekana kutupia Kiafrika afrika kama anavyoonekana pichani hapo juu, nafikiri haya ni matunda ya wasanii wa kiafrika kuwa na uhusiano wa karibu na wasanii wakubwa kama Wiz Kid ambaye kwa sasa ana-hang out sana tu na kina Chriss na Rihanna pia.
Safi Chriss angalau unapata fleva ya kuwa na asili ya Kiafrika…!!!Friday, July 18, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
WATU mbalimbali wamejitokeza katika mitaa ya jijini New York katika gwaride la mwaka kuadhimisha tamasha la 41 la kiutamaduni maarufu ka...
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, Ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu, familia yangu na viongozi wangu wa chama na wananchi wa Jimbo langu. Nawas...
0 comments:
Post a Comment