WENGI wanasema ni moja ya hatua katika kuutangaza utamaduni na mavazi ya kiafrika kwani wasanii wakubwa kama hawa wanapovaa mavazi yao huwa ni chachu kwa mashabiki wake kuyavaa, Mwanakaka Chriss Breeezy ameonekana kutupia Kiafrika afrika kama anavyoonekana pichani hapo juu, nafikiri haya ni matunda ya wasanii wa kiafrika kuwa na uhusiano wa karibu na wasanii wakubwa kama Wiz Kid ambaye kwa sasa ana-hang out sana tu na kina Chriss na Rihanna pia.
Safi Chriss angalau unapata fleva ya kuwa na asili ya Kiafrika…!!!Friday, July 18, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Na Musa Mateja KATIKA hali ya kushangaza, mastaa wa kike wa muziki, Esterlina Sanga ‘Linah’ na mwenzake Sarah Kaisi ‘Shaa’ waliibua gu...
-
KAMA KUMBUKUMBU zako ziko sawa kuhusu yale malalamiko ya kukosewa kwa picha ya baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere kwenye noti ya shilin...
-
Mwenyekiti PAC-Zitto Kabwe(MB) KAMATI ya PAC imekutana na Benki Kuu ya Tanzania kupokea Maelezo kuhusu fedha tshs 201 bilioni za ak...
-
AMA kwa hakika duniani kuna mambo! wachuuzi wa kahawa yenye vijimambo ndani yake,ambayo ukiinywa tu basi inakupa mzuka wa kufany...










0 comments:
Post a Comment