Sunday, June 22, 2014

PICHA ZA M-BONGO MOVIES MWINGINE ZINAZOWASUMBUA MAPEDESHEE MITANDAONI

KATIKA pita pita zangu mitaani nakutana na wadau mitandaoni wakizikodolea mimacho picha hizi nzuri za mwanadada huyu msanii wa Bongo Muviz, kwa jina anaitwa Batuli na hivi karibuni anataraji kuonekana katika moja ya muviz nzuri aliyoicheza na wasanii wenzie lukuki.
E bwanaa eeeeh kumbe watoto wa kibongo nao mashalaaaah!
Tiririka na picha hi then tuambie umeona muvi zake ngapi?
na umezionaje hizo muvi???





0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI