Sunday, June 1, 2014

MFAHAMU ALIYEKUWA MUONGOZAJI WA FILAMU NA VIPINDI MAREHEMU GEORGE TYSON

TYSON
J1

Jokate Mwegelo amesema kuhusu kazi nzuri aliyokuwa anafanya George Tyson kama director wa The One show ambayo inaruka kupitia TV1

J2

Venessa Mdee hajawai kusema sababu ya kuacha kufanya The One show ambayo alianza hadi ku-shoot. Hivi sasa amesema sababu hiyo akimhusisha George Tyson kama mtu aliyempa moyo kwenye maamuzi yake.

T1

Hemed PHD na yeye anasema kwamba George Tyson ndiye mtu ambaye aligundua kipaji chake cha kuigiza wakati akiwa kwenye Tusker Project Fame.

T3

Kazi kubwa ya George Tyson ilikuwa ni ku-direct vipindi vya TV kama unavyoona hapo chini na juu ambapo AY anamzungumzia baada ya kufanya show ya Boys Boys. Pia Mboni Masimba anamtaja kama director wa show yake.
Y2

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI