Sunday, May 18, 2014

SOMA KISA CHA MCHUNGAJI RWAKATARE KUCHARUKA BUNGENI

Akichangia hoja ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Watoto Bungeni leo; ameomba kwa uchungu, Watanzania kukemea ukeketaji, ngoma za
kudhalilisha kama vile kangamoko na Vigodoro na nyinginezo na upigaji wa wanawake!
In fact, inashangaza jinsi ngoma hizi za ovyo zinavyoshamiri Dar, inashangaza ni kwanini serikali kupitia wizara hii hawakomeshi ngoma za ovyo kama hizi! Kule Boko Beach kuna ngoma ya ovyo (Kigodoro) kabisa huchezwa kila wikiendi, viongozi wa serikali ya mtaa hawaoni?
Chanzo: williammalecela.com


0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI