Tuesday, October 6, 2015

MHE. MWANG'OMBE AENDELEA KUCHANJA MBUKA MBIO ZA UBUNGE *PICHAZ*

Ni mwana Diaspora Liberatus Mwang'ombe anaye onekana kuwa na mvuto wa kipekee kwenye mbioza kuelekea Dodoma. Mwang'ombe amekuwa akikusanya watu wengi sana hata akisimama kwenye vijiji vidogo ambavyo havina watu wengi. Pichani akiwa kwenye vijiji viwili vidogo ambavyo havina historia ya watu kuhudhuria mikutano ya kisiasa; lakini ilikuwa tofauti kwa Mh. Mwang'ombe
Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mtunga sheria Tanzania. Msaada wa fedha anaomba utumwe kupitia;
M-PESA- WAVE App number +255 752 494 409
Au, wasiliana na: 
Rehema Sarmet 301 367 9711
Lukresia  240 593 5973
Jabil  240 604 0574 
Juu na chini: Wananchi wakiomba Ukodaki moment na Mh. Mwang'ombe, Igunda, Mbarali
 Swaga imekolea Igava, Mbarali
Hapa ni kijiji cha Igunda, Mbarali

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI