Monday, September 7, 2015

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI, ATAKA CHAMA HICHI KUACHA MARA MOJA SHUGHULI ZA SIASA KATIKA UCHAGUZI MKUU 2015

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi.
Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu ambavyo vinastahili kushiriki uchaguzi mkuu. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Emmanuel Kayuni.
Mkutano na wanahabari ukiendelea.
Mwanahabari wa gazeti la Nipashe, Theresia akiwa nyuma ya kamera wakati wa mkutano huo.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo kwenye mkutano huo.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI