Kalapina wa kikosi cha mizinga achukua fomu kugombea udiwani kata ya Kinondoni kwa tiketi ACT Wazalendo!
 |
| Hapa akiwasili katika ofisi za mtendaji wa kata ya Kinondoni katika usafiri wa pikpiki. |
Akiwa ameambatana na wapambe wake waliokuwa wamepanda bodaboda
 |
| Akisalimia baadhi ya watu waliokuwa eneo la tukio. |
 |
| Kalapina aka nabii akihesabu pesa za kulipia fomu ya udiwani kabla hajaingia katika ofisi ya msimamizi wa uchaguzi kata ya Kinondoni. |
 |
| Washabiki wa Karama Masoud wakiamsha amsha nje ya ofisi za mtendaji. |
 |
| Karama akipokea fomu za kugombea udiwani toka kwa Bibi Ikunda Lyimo, anayetazama kulia ni katibu kata tawi la Kinondoni wa ACT Bw Johnson Kapi. |
 |
| Wakisikiliza kwa makini msimamimizi wa uchaguzi akitoa maelekezo ya jinsi ya kujaza fomu za udiwani. |
 |
| Mwandishi wa gazeti la DIRA Bi Rachel Gabagambi akimuhoji Kalapina aka Nabii baada ya kuchukua fomu. |
 |
| Shangwe barabarani baada ya kuchukua fomu. |
#Picha na habari na Mkala Fundikira wa Keronyingi blog
0 comments:
Post a Comment