Hiphop ya bongo 2015 imepata headlines nyingine tena na sasa ni zamu ya Fid Q rapper alieweka wazi kwamba video yake mpya ya bongo hiphop iliyofanywa na Nisher hata yeye alikua na kiu ya kuiona kama ilivyo kwa mashabiki wake, itazame hapa chini alafu usiache kutuandikia comment ili Fid akipita hapa usiku asome watu wake walichomuandikia.
Monday, March 2, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Mbunge wa Kigoma Kaskazini- Chadema Zitto Kabwe ******** 1. Vumi Mbiligo, mkazi wa Msimba Vijana wengi wamekuwa wakijishughulisha na ...
-
WACHEZAJI wazoefu wa Taifa Stars watakaoungana na wale 16 waliopatikana katika mpango wa maboresho wa timu hiyo watatangazwa kesho (Apr...
-
Pichani: Mike Sonko na Rachel Shebesh HIZI ni baadhi ya picha za Sonko na Shebesh. Mike Sonko alisema zilitengenezwa nakundi la...
-
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema, Rose Kamili, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana n...
-
Msanii Diamond Platinumz amepata nomination ya best African act katika tuzo za MTV Europe awards zitakazofanyika Milan Italy. Diam...







0 comments:
Post a Comment