Sunday, January 4, 2015

UKIAMBIWA JESHINI UGANGAMALE NDIO HII: WACHEKI JKT KIGOMA WAKIWA KAZINI UAMINI HAWA JAMAA SI LELEMAMA *PICHAZ*

Baadhi ya wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la kujenga Taifa katika kikosi cha 824 KJ Kanembwa wakiwa tayari kwaajili ya Gwaride.
Wahitimu wakipita mbele ya mgeni (hayupo pichani)Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali mstaafu Issa Machibya rasmi kwa mwendo wa pole.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya akiwa amesimama kwa ukakamavu wimbo wa Taifa ukiimbwa kwaajili ya ufunguzi wa sherehe za maafali ya kufunga mafunzo ya JKT katika kikosi cha 824KJ Kanembwa.
Baadhi ya wahitimu wa mafunzo ya JKT kikosi cha 824 KJ wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi katika maafali yao ya kufunga mafunzo.
Picha zote na Editha Karlo

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI